Sunday, July 10, 2011

KISWAHILI-SISWATI BIRTHDAY MESSAGE

,


KISWAHILI


Jina langu Tamara Sibusisiwe Phiri, na Baba Mzazi ni Goodman Manyanya Phiri.  Mimi ni Msouth-Afrika. Leo, Jumapili tarehe 10, mwezi wa saba, mwaka 2011, nimetimiza umri wa miezi 9 barabara.  Mama yangu amenipiga picha hii leo.  Sina mengi kwa sasa; lakini labda siku moja nitakuwa mkufunzi, nani ila Mola anaweza kusema?


Yatosha kuhusu mimi.  Nimeingia mtandaoni leo kwa mara ya kwanza kabisa ili kumtakia kaka yangu HERI YA SIKU YA KUZALIWA, naye anaitwa Lwandiluquqaba Maziri Phiri.  Maziri ni Mtanzania, aliezaliwa mwezi wa saba tarehe 10, 2010.  Samahani sina picha yake kwa leo,  TUMUOMBE MUNGU TUTAPATA HAPO BAADAYE, JAMAANI!






ENGLISH


My name is Tamara Sibusisiwe Phiri, fathered by Mr Goodman Manyanya Phiri.  I am a South African. Today, Sunday the 10th of July 2011, I stand at exactly 9 months old.  My mother took this photo of me today.  I do not talk much as of now; but maybe one day I'll be a lecturer, who knows?


As for my father... he likes singing from his days of freedom struggle I'm told in 1976 long before my mother was born....that's ancient!!!!



Enough about me and my father (or the guy I've always seen next to my mother ever since I was born, because I think that's what paternity is all about)!  I've come online today for the first time just to say HAPPY BIRTH DAY to my elder brother, Lwandiluquqaba Maziri Phiri.  Maziri is Tanzanian, born July 10, 2010 in Iringa.  Sorry I don't as yet have his photo. NEXT TIME LUCKY, GUYS!








SISWATI






Libito lami nguTamara Sibusisiwe Phiri, naBabe nguGoodman Manyanya Phiri. NginguMsouth-Africa.  Namuhla, kulLisontfo tingu 10  enyangeni yaJulai, 2011, ngicedza budzala betinyanga letiyimfica ngci.  Make ungitsetse lesitfombe namuhla.  Lamadze ngite; kepha  ngalelinye lilanga kungenteka ngibe yi lekshera, lowatiko liciniso nguLosetulu!


Sekwanele ngami bo!  Ngitifake kwekucala ngca ku-WEB khona ngitofisela   umnaketfu lomdzala LUSUKU LWEKUTALWA LOLUHLE NALOLUMNANDZI, naye libito lakhe ngu Lwandiluquqaba Maziri Phiri.  Yena unguMtanzania, lowavela mhlaka 10 Julai 2010.  Ngiyacolisa, anginaso sitfombe sakhe.  SESETSEMBELE KUMDALI SITASITFOLA NGALELINYE LILANGA!

4 comments:

  1. Da'Tamara hongera sanakwa kutimiza miezi 9,pioa hongera kwa kaka pia!Mungu akubari katika yote.

    ReplyDelete
  2. Shangazi Rachel Siwa, Acha nikushukuru kabla huyo STENOGRAPHER wangu Manyanya hajanitoroka.

    Nashukuru sana na usinisahau kwa siku yangu ya kuzaliwa mwezi Oktoba tarehe 10 tena. Nawe tutumie tafadhali BETIDEYI yako ifuatao itakuwa lini (na kama ni siri, kuwa huru kumtumia huyo STENOGRAPHER wangu na email hii: manyanyaphiri@gmail.com)

    ReplyDelete
  3. Sitasahau Shangzi yangu Tamala,yangu ni tarehe 01/08 na ya dada Sandra-Neema itakuwa ijumaa hii yaani tarehe 15 ni mtoto wetu wa kwanza, karibu sana mwanangu na familia yote,Mungu aendelee kuwabariki!

    ReplyDelete
  4. Basi mimi nimepitiliza kweli hiyo siku ya Ijuamaa tarehe 15. Wacha basi niseme: HAPPY BELATED BIRTHDAY, KWAKO DADA SANDRA-NEEMA.

    Next Year nitakuwa nimekua kweli; na sitasahau-sahau ovyo!

    ReplyDelete