Tuesday, May 10, 2011

Osama bin Laden son 'disappeared during compound raid' - Telegraph

(KISWAHILI, A LANGUAGE SPOKEN PRACTICALLY IN THE ENTIRETY OF EASTERN AFRICA) Inasemekana wale wanaoweka hazina yao kwa vijana ndio washindi wa historia. Sasa suali: kwa kuuwawa kwake Bin Laden, je Wamerika wameshinda au wameshindwa? Mbona msiri wake Bin Laden mkubwa kuliko wote na tena mwanae mwenye umri 20 (kitinda-mimba kwa watoto kama 24)inasemekana katoweka katika mashambulizi yaliemua baba yake?

(Siswati word-for-word translation: SISWATI IS SPOKEN IN SOUTH AFRICA, THE KINGDOM OF SWAZILAND AND IN POCKETS OF NEIGHBOURING MOZAMBIQUE) Kutsiwa bona lababeka bucebi babo e nsheni ngibo bancobi be mlandvo. Manje umbuto: nge kubulawa kwakhe Bin Laden, ngabe Emamerika aancobile nome bancotjiwe? Kungani sitsenjwa sakhe Bin Laden lesikhulu kunato tonkhe kube futsi kungumntfwanakhe lone-minyaka 20 (sigcina-tfumbu kibo lusapho longatsi 24) kutsiwa unyamalele ngalesikhatsi seluhlaselo lolubulele baba wake?


Osama bin Laden son 'disappeared during compound raid' - Telegraph

3 comments:

  1. Kuna sintofahamu iliyogubika kifo cha Osama, lakini muda utafika siri itafichuka!

    ReplyDelete
  2. I believe he has gone! Rais Obama hawezi kuwa kichaa kutangaza kifo chake bila sababu.

    ReplyDelete
  3. Mimi pia naamini hivyo kaka Matiya, kama angekuwepo angeshajitokeza!

    ReplyDelete